• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Utalii

Jiji la Arusha limekuwa ni kitovu cha utalii ndani na nje ya Tanzania. Kuna jumla ya hoteli za kitalii zipatazo 20, kampuni za utalii 84 na pia ni kituo cha kuelekea kwenye maajabu matatu ya Dunia yanayopatikana katika Nchi yetu ambayo ni Mt. Klm, Ngorongoro na Serengeti.

Kituo cha mikutano cha Arusha International Conference Centre (AICC) kimechangia kwa kiasi kikubwa sana kukua na kuenea kwa shughuli za kitalii.

Sekta hii ya utalii ni muhimu sana kwa wakaazi wa Jiji, kwani imetoa nafasi nyingi za ajira kwa vijana na pia ni chanzo kikubwa cha mapato kwa Jiji na Wananchi kwa Ujumla.

BIASHARA

Jiji la Arusha limekuwa ni kitovu kikubwa cha biashara. Inakisiwa kuwa kuna jumla ya wafanyabiashara wapatao 7,500 wanaofanya shughuli mbalimbali za kibiashara.

Katika kuhakikisha kwamba, wafanyabiashara hawa wanakuwa na mazingira mazuri ya kufanyia biashara. Halmashauri imejenga masoko matano (5) ambayo ni soko la Kati, soko la Kilombero,soko la Kijenge, soko la Sanawari na soko Mjinga. Masoko mengine ya Shuma na Baraa yapo katika hatua mbalimbali za kukamilika.

Halmashauri imetekeleza haya yote ili kufanikisha adhma yake ya kusogeza huduma karibu na wananchi

Matangazo

  • Tangazo la kazi ya uandikishaji wa wateja wa mfuko wa Afya ya Jamii ulioboreshwa (IMPROVED CHF)/TIKA Tarehe: 07/02/2019 February 08, 2019
  • Tangazo la Nafasi za kazi Halmashauri ya Jiji la Arusha July 17, 2018
  • Tangazo la nafasi za kazi Watendaji wa Uchaguzi Halmashauri ya jiji la Arusha July 20, 2018
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2019 HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA December 14, 2018
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • Dkt. Madeni kukabidhiwa vifaa vya usafi na Chama cha Msalaba Mwekundu nchini Tanzania (RED CROSS) kwa ajili ya kituo cha Afya Murriet Jijini Arusha

    February 20, 2019
  • Ubalozi wa China umekabidhi vifaa tiba katika kituo cha Afya Murriet Jijini Arusha

    February 19, 2019
  • TSH. 530,000,000/= yatolewa kwa vikundi vya kina Mama na Vijana Halmashauri ya Jiji la Arusha

    February 15, 2019
  • Polepole awataka Maafisa Watendaji wa Kata nchini kushiriki katika vikao vya kamati za siasa za kata na kuwasilisha taarifa za maendeleo

    February 07, 2019
  • Tazama zote

Video

MAHAFALI YA PAMOJA KIDATO CHA NNE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miradi ikliyokamilika
  • Mkataba wa huduma kwa wateja
  • Sisi ni nani

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter/a>

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa