• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Maafisa waandikishaji wasaidizi wa daftari la kudumu la wapiga kura ngazi ya kata, jimbo la Arusha Mjini wapatiwa mafunzo

Posted on: July 12th, 2019

Kuelekea katika zoezi la uboreshaji wa  Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, linalofanywa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Halmashauri ya jiji la  Arusha kupitia Jimbo la Uchaguzi la Arusha Mjini, wameanza rasmi mchakato wa uboreshaji wa Daftari hilo kwa kutoa Mafunzo kwa Maafisa Waandikishaji wasaidizi ngazi ya Kata.

Akizungumza wakati wa kufungua mafunzo hayo, Afisa Mwandikishaji Jimbo la Arusha Mjini Dkt. Maulid Suleiman Madeni, amewataka Maafisa Waandikishaji hao wa  ngazi ya kata kufuatilia kwa umakini mafunzo hayo yanayotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ili kuweza kusimamia zoezi hilo kwa umakini na uadilifu ndani ya kata zao.

Dkt. Madeni amesisitiza kuwepo kwa ushirikiano kati ya watendaji wote wa zoezi hilo, serikali, vyama vya siasa na wadau wengine  pamoja na kutosita kuomba ufafanuzi au maelekezo katika kazi zao.

Naye Afisa Uchaguzi wa  Halmashauri ya jiji la  Arusha Bi. Namnyaki Laitetei ameeleza kuwa zoezi hilo linategemea kufanyika kwa muda wa siku 7 tu, kuanzia tarehe 18 -24 Julai, 2019 katika kata 25 za Jimbo la Arusha mjini kukiwa na jumla ya vituo 185 vya kujiandikishia.

Matangazo

  • JOINING INSTRUCTION(2021) KWA SHULE ZA SEKONDARI ARUSHA JIJI December 18, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA January 07, 2021
  • Tangazo la Nafasi za kazi Halmashauri ya Jiji la Arusha July 17, 2018
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • MKUU WA MKOA WA ARUSHA AWAONYA MADIWANI NA VIONGOZI WENGINE WANAOKWAMISHA UKUSANYAJI WA MAPATO YA HALMASHAURI

    January 06, 2021
  • Mkurugenzi ,Mkuu wa Wilaya waongoza zoezi la Ujenzi vyumba vya madarasa .

    December 22, 2020
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA WAPATIWA MAFUNZO YA VISHKWAMBI

    December 18, 2020
  • Serikali kuajiri vijana kupitia miradi ya ufugaji wa samaki wa njia ya Kisasa

    December 15, 2020
  • Tazama zote

Video

ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa