• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Dkt. Madeni atatua kero ya madawati katika shule za Sekondari Jiji la Arusha

Posted on: August 6th, 2019

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt.Maulid Suleimani Madeni amekabidhi madawati 936 yenye thamani ya shilingi 79,227,850 katika shule za msingi zilizopo Halmashauri ya jijini Arusha.  

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa jiji la Arusha Afisa Elimu Sekondari Mwalimu Valentine Makuka ametaja shule hizo ambazo ni Sekondari ya Baraa madawati 120, Olmoti 185, Sombetini 270, Themi 150 na Naura 211 lengo likiwa ni kuboresha elimu kama ilivyo kauli mbiu ya serikali ya awamu ya tano.

Mwalimu Makuka amesema kwamba utengenezaji wa madawati haya umekuwa ni wa gharama nafuu baada ya kutumia karakana ya Shule ya msingi na Ufundi Kaloleni ambapo awali wazabuni ndio waliokuwa wakitumika kutengeneza madawati ambayo ilikuwa inagharimu fedha nyingi.

“Kwa kutumia karakana ya shule ya msingi na ufundi Kaloleni kiti na meza moja hadi kufikishwa shuleni imegharimu shilingi 96,000 kulinganisha na mzabuni ambapo inagharimu shiling 150,000” alisema Mwalimu Makuka.

Pamoja na lengo la kupunguza gharama Mwalimu Makuka alisema kuwa kutengeneza madawati katika Karakana hiyo ni fursa ya kuiwezesha kujiendesha kiuchumi.

Naye Mwalimu mkuu wa Shule ya msingi na Ufundi Kaloleni  Bi. Nemhina Mfikilwa  amemshukuru Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleimani Madeni kwa kuipa kipaumbele Karakana iliyopo katika shule yake kwani ameonesha uzalendo na kuunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli za kubana matumizi.

Pichani: Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Themi wakiwa na kiti na meza walivyo patiwa na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha.


Pichani: Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Olmoti wakiwa na kiti na meza walivyo patiwa na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha.


Pichani: Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Sombetini wakiwa na kiti na meza walivyo patiwa na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha



Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa