• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

R.C Mongella awataka wakuu wapya wa Wilaya kuchapa kazi kwa ushirikiano

Posted on: December 7th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella amewapongeza na kuwataka wakuu wapya wa Wilaya za Arusha na Karatu kushirikiana na wananchi, viongozi wa dini, Mila, Chama Cha Mapinduzi na Vyama vingine vya Siasa ili kurahisisha utendaji wa majukumu yao.

Mhe. Mongella ametoa pongezi na rai hayo alipokua akizungumza na Wakuu hao Wilaya na wageni waalikwa walio hudhuria tukio la kuapishwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Karatu Mhe. Dadi Kolimba na ukaribisho wa Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Said Mtanda leo katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

"Wakati Mwingine viongozi hujisahau na Kufikiri tunajua sana kuliko wananchi, wanauelewa wakutosha ndiomaana wanaendesha maisha yao, ukichanganya na ujuzi wako na utakaowakuta kule liko jambo la maana litafanyika" - Mhe. Mongella

Aidha Mhe. Mongella ameeleza kua ni muhimu kushirikiana na makundi hayo muhimu ili kuleta ufanisi katika kazi, akitolea mfano Viongozi wa Dini na wa kimila ambapo ameeleza kua serikali imefanikiwa kugawa Chanjo za UVIKO-19 50,000 kwa awamu ya kwanza na chanjo 33,500 kwa awamu ya pili ambapo hadi sasa wamefikia zaidi ya 80% huku wakitegemea kupokea zingine. 

Kwa upande wake Mhe. Mtanda amemshukuru Mhe. Rais SSH, ameahidi kua muaminifu na kuomba ushirikiano kwa viongozi wenzake na Wananchi wa Arusha na kuahidi kusimamia zoezi la ukamilishwaji wa vyumba vya madarasa ifikapo 15/12/2021, kulisimamia swala la wafanyabiashara wadogo wadogo na kusimamia usafi wa mazingira na utunzaji wa mji.

Uapisho huo umefuata baada ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kufanya teuzi na mabadiliko ya vituo vya kazi kwa baadhi ya Wakuu wa wilaya ambapo Mkuu wa Wilaya ya Arusha kwa Sasa Mhe. Said Mtanda alikua Mkuu wa wilaya ya Moshi, huku Mkuu wa Wilaya ya Karatu Mhe. Abbas Kanyanda akihamia Moshi, na Mhe.Dadi Kolimba kuteuliwa kua mkuu wa Wilaya ya Karatu.


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa